Siri imefichuka baada ya mwenyekiti wa CHADEMA ndugu mbowe kubaini kuwa LOWASA anaonekatana kutaka kurudi ccm Kimyakimya.yaan lowasa alitaka afanye surprise ila watu wameshastuka.
Jumapili, 26 Novemba 2017
Ijumaa, 24 Novemba 2017
Alhamisi, 23 Novemba 2017
DR SLAA KUWA BALOZI.
Raiswa jamhuri ya muungano wa Tanzania amemteua mpenzani Dr Slaa kuwa balozi.Magufuri amekuwa na mwendelezo wa kuwateua wapinzani.Nakumbuka Dr slaa aliwahi kusema akiwa rais atamshitaki magufuri kwa kuuza nyumba za serikali.
Jumatano, 22 Novemba 2017
Jumatatu, 20 Novemba 2017
Jumamosi, 18 Novemba 2017
waimbaji wa injili na style za maajabu ya kumpendeza Mungu.
Tazama maajabu na style za ajabu kutoka kwa waimbaji hawa maarufu duniani.
Alhamisi, 9 Novemba 2017
Jumatano, 8 Novemba 2017
Jumatatu, 6 Novemba 2017
NAFASI MBALIMBALI ZA KAZI HALOTEL TANZANIA.
Hizi Hapa nafasi mbalimbali za kazi Halotel Tanzania fungua hii link kuona tangazo lote.>>https://studentswagas.blogspot.com
Jumapili, 5 Novemba 2017
MSANII WETU MPYA TUMSAPOTI.
Download good music kutoka kwa hii link ili kusapoti vipaji vipya vya music wa kitanzania.https.//youtu.be/6p2_UDfkt9g.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)