Jumapili, 11 Desemba 2016

KOCHA WA MAN U AONDOA GUNDU YA KUFUNGWA KWA KUMUNUNULIA CHUPI BINTIYE.

Kocha wa man u ameonekana ktk duka maarufu akiwa na bintiye akimunulia nguo ya ndani yaani chupi mjini London. Tukio hill limetokea kabla ya kuanza kwa mechi ya man u dhidi ya spurs.




wanafunzi wafumwa nyuma ya choo wakifanya yao.

Wanafunzi wafumaniwa laivu wakisex nyuma ya choo huku wakijua hawaonekani.

ISTANBUL KIMENUKA TENA.

Watu zaidi ya 29 wamefariki dunia na wengne 166 kujeruhiwa baada ya mlipuko kutokea katikati ya kusanyiko la watu.shuhudia picha hizi na tazama video Hapa.

Jumamosi, 10 Desemba 2016

HAWA NI WANAFUNZI WAKIJIACHIA.

Hawa ni wanafunzi ktk sherehe yao ya kila mwana escape one inayoitwa AFTER SKUL BASH sherehe inayofanyika baada ya kurudi kutoka masomoni kwa baada ya mwaka mzima.je ni halali kufanya hivo?angalia mapicha ya kumwaga Hapa.















MAGAZETI YA LEO DESEMBER 11 2016.

Leo ni jumapili pendwa mpenzi msomaji wa magazeti ya Tanzania yaliyojaa habari za udaku,hardnews na michezo.