Jumamosi, 26 Novemba 2016

Chelsea yavunja rekodi ya spurs.

Mchezo kati ya Chelsea na Tottenham hottspurs ni mchezo ambao ulisubiriwa kwa hamu kubwa sana.spurs ambao walikuwa hawajafungwa hata Mara moja .wamevunjiwa rekodi yao na Chelsea kwa kufungwa bao 2:1 ktk uwanja wa Chelsea.japo spurs ndio walioanza kupata goli dakika ya 11 huku wenzao chelsea wakichomoa dakika ya 45 na kuongeza lingine baada tu ya mapumziko.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni