Jumapili, 27 Novemba 2016

MTANZANIA MWENYE NYUMBA 1500 KIGAMBONI.

HAMIDU ni mtanzania mwenye elimu ya darasa la saba ambae anaamini kufeli shule sio kufeli maisha.baada ya kufeli akajikita ktk biashara sasa ivi ni millionea wa nguvu.MTU huyu anaendekea kumalizia shughuli yake ya kujenga nyumba 1500 kigamboni dar.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni