RAIS MAGUFURI ATENGUA UTEUZI WA MWENYEKITI WA TRA.
Rais wa Tanzania ametengua uteuzi na kutengua bod yote ya bodi ya mapato Tanzania.mwenyekiti huyo wa bod Benard mchomvu amefukuzwa baada ya magufuri kuona uzembe ndani ya bodi hyo.uteuzi mwingne utatangazwa baadae.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni