Jumapili, 27 Novemba 2016

MARAIS WA MAREKANI WATOFAUTIANA KUHUSU FIDEL CASTRO.

Marais wa marekani wapishana kuhusu mtazamo wa Fidel Castro.trump anasema Fidel Castro alikuwa mdhalimu na mtu aliewatesa wananchi wake.huku Obama akisema Cuba imejitaidi kurudisha urafiki kati ya nchi hizi mbili.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni