Jumapili, 20 Novemba 2016

DERBY KUBWA KULIKO ZOTE ULIMWENGUNI.

Kwa mujibu wa watafiti wa michezo wanasema mechi ya Leo ya ACMILLAN VS INTER.ndio berby kubwa ulimwenguni kutokea Italy.km kweli ww ni mwanamichezo hutakiwi kuikosa hii mechi ya Leo.je ww unasemaje kuhusiana na hii derby na matokeo yake yatakuwaje?.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni